Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 3.1
Bible en Swahili de l’est


Confiance malgré la persécution

1 Bwana, watesi wangu wamezidi kuwa wengi, Ni wengi wanaonishambulia,
Psaumes 17.7 Matthieu 10.21 2 Samuel 16.15 2 Samuel 17.11-17.13 Matthieu 27.25
2 Ni wengi wanaoiambia nafsi yangu, Hana wokovu huyu kwa Mungu.
Psaumes 71.11 Psaumes 42.10 Psaumes 42.3 Psaumes 22.7 Psaumes 4.2
3 Na Wewe, Bwana, U ngao yangu pande zote, Utukufu wangu na mwinua kichwa changu.
Psaumes 27.6 Psaumes 28.7 Genèse 15.1 Psaumes 119.114 Psaumes 18.2
4 Kwa sauti yangu namwita Bwana Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu.
Psaumes 34.4 Psaumes 2.6 Psaumes 91.15 Psaumes 132.13-132.14 Psaumes 34.6
5 Nalijilaza nikalala usingizi, nikaamka, Kwa kuwa Bwana ananitegemeza.
Psaumes 4.8 Lévitique 26.6 Proverbes 3.24 Job 11.18-11.19 Proverbes 14.26
6 Sitayaogopa makumi elfu ya watu, Waliojipanga juu yangu pande zote.
Psaumes 118.10-118.12 2 Samuel 18.7 Romains 8.31 Psaumes 27.1-27.3 2 Rois 6.15-6.17
7 Bwana, uinuke, Mungu wangu, uniokoe, Maana umewapiga taya adui zangu wote; Umewavunja meno wasio haki.
Psaumes 58.6 Job 16.10 Psaumes 7.6 Psaumes 10.12 Job 29.17
8 Wokovu una Bwana; Baraka yako na iwe juu ya watu wako.
Esaïe 43.11 Jérémie 3.23 Psaumes 37.39-37.40 Apocalypse 19.1 Osée 13.4

Cette Bible est dans le domaine public.