Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 110.5
Bible en Swahili de l’est


Le Messie, roi et prêtre

1 Neno la Bwana kwa Bwana wangu, Uketi mkono wangu wa kuume, Hata niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.
Hébreux 10.12-10.13 1 Corinthiens 15.25 Ephésiens 1.20-1.22 Luc 20.42-20.43 Hébreux 1.13
2 Bwana atainyosha toka Sayuni Fimbo ya nguvu zako. Uwe na enzi kati ya adui zako;
Matthieu 28.18-28.20 Romains 1.16 Psaumes 22.28-22.29 1 Corinthiens 1.23-1.24 1 Thessaloniciens 2.13
3 Watu wako wanajitoa kwa hiari, Siku ya uwezo wako; Kwa uzuri wa utakatifu, Tokea tumbo la asubuhi, Unao umande wa ujana wako.
Juges 5.2 Tite 2.14 Psaumes 96.9 Ephésiens 1.4 Galates 1.15-1.16
4 Bwana ameapa, Wala hataghairi, Ndiwe kuhani hata milele, Kwa mfano wa Melkizedeki.
Hébreux 7.17 Nombres 23.19 Hébreux 5.6 Hébreux 7.21 Zacharie 6.13
5 Bwana yu mkono wako wa kuume; Ataseta wafalme, Siku ya ghadhabu yake.
Romains 2.5 Psaumes 16.8 Psaumes 68.14 Apocalypse 17.12-17.14 Psaumes 68.30
6 Atahukumu kati ya mataifa, Ataijaza nchi mizoga; Ataseta kichwa katika nchi nyingi.
Psaumes 68.21 Esaïe 2.4 Michée 4.3 Ezéchiel 38.21-38.22 Habakuk 3.13
7 Atakunywa maji ya mto njiani; Kwa hiyo atakiinua kichwa chake.
Psaumes 27.6 Juges 7.5-7.6 Jérémie 23.15 Jérémie 52.31 Matthieu 26.42

Cette Bible est dans le domaine public.