Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

1 Chroniques 1.2
Bible en Swahili de l’est


Listes généalogiques

D’Adam à Noé et ses descendants

1 Adamu, na Sethi, na Enoshi;
Luc 3.38 Genèse 4.25-5.32
2 na Kenani, na Mahalaleli, na Yaredi;
Luc 3.37 Genèse 5.12-5.20 Genèse 5.9
3 na Henoko, na Methusela, na Lameki;
Jude 1.14 Hébreux 11.5 Luc 3.36-3.37 Genèse 5.21-5.31
4 na Nuhu, na Shemu, na Hamu, na Yafethi.
Genèse 5.32 Genèse 9.18 Genèse 9.29 2 Pierre 2.5 Genèse 6.8-6.10
5 Wana wa Yafethi; Gomeri, na Magogu, na Madai, na Yavani, na Tubali, na Mesheki, na Tirasi.
Genèse 10.1-10.5 Ezéchiel 38.2-38.3 Ezéchiel 38.6 Ezéchiel 27.13 Ezéchiel 39.1
6 Na wana wa Gomeri; Ashkenazi, na Rifathi, na Togama.
Genèse 10.3
7 Na wana wa Yavani; Elisha, na Tarshishi, na Kitimu, na Warodani.
Esaïe 66.19 Esaïe 23.12 Esaïe 23.1 Nombres 24.24 Daniel 11.30
8 Wana wa Hamu; Kushi, na Misri, na Putu, na Kanaani.
Genèse 10.6-10.7
9 Na wana wa Kushi; Seba, na Havila, na Sabta, na Raama, na Sabteka. Na wana wa Raama; Sheba, na Dedani.
10 Kushi naye akamzaa Nimrodi; yeye akaanza kuwa mtu hodari katika nchi.
11 Na Misri akazaa Waludi, na Waanami, na Walehabi, na Wanaftuhi,
Genèse 10.13-10.18
12 na Wapathrusi, na Wakasluhi; huko ndiko walikotoka Wafilisti, na Wakaftori.
Jérémie 47.4 Amos 9.7 Deutéronome 2.23
13 Na Kanaani akamzaa Sidoni, mwanawe wa kwanza, na Hethi;
Exode 23.28 Genèse 27.46 Josué 9.1 Genèse 49.30-49.32 Genèse 23.3
14 na Myebusi, na Mwamori, na Mgirgashi;
Josué 3.10 Genèse 15.21 Genèse 48.22 Juges 1.21 Néhémie 9.8
15 na Mhivi, na Mwarki, na Msini;
Exode 3.17 Exode 13.5 Exode 3.8 1 Rois 9.20
16 na Mwarvadi, na Msemari, na Mhamathi.
1 Rois 8.65 Nombres 34.8
17 Wana wa Shemu; Elamu, na Ashuru, na Arfaksadi, na Ludi, na Aramu, na Usi, na Huli, na Getheri, na Mashi.
Esdras 4.2 Genèse 10.22-10.32 Nombres 24.22-24.24 Esaïe 22.6 Esaïe 66.19
18 Na Arfaksadi akamzaa Sala, na Sala akamzaa Eberi.
Genèse 10.24 Genèse 11.12-11.15
19 Na Eberi akazaliwa wana wawili wa kiume; jina la wa kwanza aliitwa Pelegi, maana katika siku zake nchi iligawanyika; na jina la nduguye aliitwa Yoktani.
Genèse 11.16-11.17 Genèse 10.25 Genèse 10.21 Nombres 24.24
20 Na Yoktani akamzaa Almodadi, na Shelefu, na Hasarmawethi, na Yera;
Genèse 10.26-10.27
21 na Hadoramu, na Uzali, na Dikla;
22 na Obali, na Abimaeli, na Sheba;
Genèse 10.28
23 na Ofiri, na Havila, na Yobabu. Hao wote ndio wana wa Yoktani.
Psaumes 45.9 Genèse 25.18 1 Samuel 15.7 1 Rois 9.28 1 Rois 10.11

De Sem à Abraham et ses descendants

24 Shemu, na Arfaksadi, na Sala;
Genèse 11.10-11.26 Luc 3.34-3.36
25 na Eberi, na Pelegi, na Reu;
Luc 3.35
26 na Serugi, na Nahori, na Tera;
Luc 3.34-3.35
27 na Abramu, naye ndiye Ibrahimu.
Genèse 11.27-11.32 Néhémie 9.7 Genèse 17.5 Josué 24.2
28 Wana wa Ibrahimu; Isaka, na Ishmaeli.
Genèse 21.12 Genèse 21.9-21.10 Genèse 21.2-21.5 Genèse 16.11-16.16 Genèse 17.19-17.21
29 Hivi ndivyo vizazi vyao; mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli, Nebayothi; kisha Kedari, na Abdeeli, na Mibsamu;
Cantique 1.5 Psaumes 120.4 Genèse 25.12-25.16 Esaïe 21.17 Genèse 28.9
30 na Mishma, na Duma, na Masa, na Hadadi, na Tema;
Esaïe 21.11 Genèse 25.15
31 na Yeturi, na, Nafishi, na Kedema. Hao ndio wana wa Ishmaeli.
32 Na wana wa Ketura, suria yake Ibrahimu; yeye akamzaa Zimrani, na Yokshani, na Medani, na Midiani, na Ishbaki, na Shua. Na wana wa Yokshani; Sheba na Dedani.
Genèse 25.1-25.4 Job 6.19 Nombres 25.6 Nombres 22.4-22.7 Esaïe 60.6
33 Na wana wa Midiani; Efa, na Eferi, na Hanoki, na Abida, na Eldaa. Hao wote ndio wana wa Ketura.
Esaïe 60.6
34 Na Ibrahimu naye akamzaa Isaka. Wana wa Isaka; Esau, na Israeli.
Genèse 32.28 Actes 7.8 Luc 3.34 Genèse 21.2-21.3 Matthieu 1.2
35 Wana wa Esau; Elifazi, na Reueli, na Yeushi, na Yalamu, na Kora.
Genèse 36.4-36.5 Genèse 36.9-36.10
36 Wana wa Elifazi; Temani, na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi, na, kwa Timna, Amaleki.
Abdias 1.9 Jérémie 49.7 Genèse 36.11-36.15 1 Chroniques 1.53 Amos 1.12
37 Wana wa Reueli; Nahathi, na Zera, na Shama, na Miza.
38 Na wana wa Seiri; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana, na Dishoni, na Eseri, na Dishani.
Genèse 36.20-36.30
39 Na wana wa Lotani; Hori, na Hemamu; na Timna ni umbu lake Lotani.
Deutéronome 2.22 Genèse 36.22 Deutéronome 2.12
40 Wana wa Shobali; Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu. Na wana wa Sibeoni; Aya, na Ana.
Genèse 36.23-36.24
41 Wana wa Ana; Dishoni. Na wana wa Dishoni; Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani.
Genèse 36.25-36.26
42 Wana wa Eseri; Bilhani, na Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani; Usi, na Arani.
Genèse 36.27-36.28 Lamentations 4.21

Rois et chefs d’Édom

43 Basi hawa ndio wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu, kabla hajamiliki mfalme awaye yote juu ya wana wa Israeli; Bela, mwana wa Beori; na jina la mji wake ni Dinhaba.
Genèse 36.31-36.43 Nombres 24.17-24.19 Genèse 49.10
44 Bela akafa, naye Yobabu, mwana wa Zera, wa Bosra, akamiliki badala yake.
Esaïe 34.6 Esaïe 63.1 Jérémie 49.13 Michée 2.12 Amos 1.12
45 Yobabu akafa, naye Hushamu, wa nchi ya Watemani, akamiliki badala yake.
Job 2.11 Genèse 36.11
46 Hushamu akafa, naye Hadadi, mwana wa Bedadi, akamiliki badala yake, ambaye aliwapiga Midiani katika uwanja wa Moabu; na jina la mji wake ni Avithi.
47 Hadadi akafa, naye Samla, wa Masreka, akamiliki badala yake.
48 Samla akafa, naye Shauli, wa Rehobothi karibu na Mto, akamiliki badala yake.
Genèse 36.37
49 Shauli akafa, naye Baal-Hanani, mwana wa Akbori, akamiliki badala yake.
50 Baal-Hanani akafa, naye Hadadi akamiliki badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.
Genèse 36.39
51 Akafa Hadadi. Na hawa ndio majumbe wa Edomu; jumbe Timna, na jumbe Alva, na jumbe Yethethi;
Genèse 36.40
52 na jumbe Oholibama, na jumbe Ela, na jumbe Pinoni;
53 na jumbe Kenazi, na jumbe Temani, na jumbe Mibsari;
54 na jumbe Magdieli, na jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu.
Genèse 36.41-36.43

Cette Bible est dans le domaine public.